Kigbe-Waci

Kigbe-Waci ni lugha ya Kiniger-Kongo nchini Togo na Benin inayozungumzwa na Wagbe. Mwaka wa 1991 idadi ya wasemaji wa Kigbe-Waci nchini Togo imehesabiwa kuwa watu 366,000. Pia kuna wasemaji 110,000 nchini Benin. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kigbe-Waci iko katika kundi la Kikwa.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search